Alama dola
Mandhari
![](https://cdn.statically.io/img/upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/14/Dollar_Sign.svg/288px-Dollar_Sign.svg.png)
Alama dola au $ (kwa Kiingereza: "dollar sign" au "peso sign") ni alama inayotumika ili kuonyesha vitengo vya fedha nyingi.
Alama dola hutumika katika lugha za programu pia. Msimbo Unicode wa alama dola ni U+0024. Alama dola hutumika katika lugha za programu kama JavaScript, PHP au Python.
Marejeo
[hariri | hariri chanzo]- Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |